Habari zenu humu wanajukwaa

Msekule

Member
Joined
May 14, 2019
Posts
86
Reaction score
75
Naitwa msekule, ninaitaji kwenda africa ya kusini kutafta maisha, lakini kule sina ndugu wala rafiki.
Kwa yeyote humu kama yupo uko anisaidie kunistili kwa muda hadi pale nitakapo pata kibarua.
 
Basi Sawa msekule. Nimekuona unamwita mtu,ajitokeze kuubeba mzigo
 
Swet r, kuwa muwazi na mkweli ni kitu mhimu ususan unapokwenda mahali kwa mala ya kwanza.
 
Swet r, kuwa muwazi na mkweli ni kitu mhimu ususan unapokwenda mahali kwa mala ya kwanza.
Hakuna atakaekuja kukuambia njoo kwangu. Akikuambia hivyo kiwepesi ujue ana maslahi na wewe. Kitu MUHIMU wewe kama uko tayari kwa hiyo safari wewe zama tu,mengine yatajulikana mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…