ARGAN MARA
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 1,020
- 2,716
Mimi ni kijana wa 28 black elimu diploma nimejiajiri dini Muslim Kama dini inavyo sema kuwa ndoa ni utimilifu wa dini nami sinabudi kutafuta mke
Sifa za mke ninae muitaji awe Muslim miaka kuanzia 23-25 awe na elimu ya dini Yani awe ostadhat mcha Mungu mpole
Nikimpata wa kanza ya ziwa itakuwa vyema zaidi ila akipatikana wa mikoa mingine pia nitamuoa
Kwa yoyote mwenye hizo sifa naomba uje tuoane
Sifa za mke ninae muitaji awe Muslim miaka kuanzia 23-25 awe na elimu ya dini Yani awe ostadhat mcha Mungu mpole
Nikimpata wa kanza ya ziwa itakuwa vyema zaidi ila akipatikana wa mikoa mingine pia nitamuoa
Kwa yoyote mwenye hizo sifa naomba uje tuoane