Habari zenu naomba msaada wenu

Subiri two weeks for accurate results

Madame S
 
Un
Hivi unaweza kujua kwa siku moja kama mimba imetunga kwa kumpima
Ungetoa maelezo ya ziada ni kwanini unataka kujua eg ni kitu kimetokea mpaka unafikiria hivyo; pengine ungepata majibu bora
 
Mwili anausikia tofauti tangu amalize tendo na kujisikia machofu sana na mwili kuuma
 
Siku moja haiwezekani subiri hadi baada ya wiki mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…