Habari zenu natafuta kazi elimu kidato Cha nne mwenye connection za mashirika mbalimbali, bandarini au kampuni za usafirishaji

Habari zenu natafuta kazi elimu kidato Cha nne mwenye connection za mashirika mbalimbali, bandarini au kampuni za usafirishaji

Form 4 ,halafu unataka kazi za kwenye mashirika?

Ngoja ukutane na matapeli, ningekushauri nenda mwenyewe kwenye hayo mashirika,pita kwenye masheli omba kuongea na meneja,

Watu wa degree lakini hawapati kazi kwenye hayo mashirika ,wewe form 4 zaidi naona utakutana na matapeli tu ,


Utakuja humu na Uzi wakupigwa pesa
 
Thank you for your advice but everyone was born with his luck
Form 4 ,halafu unataka kazi za kwenye mashirika?

Ngoja ukutane na matapeli, ningekushauri nenda mwenyewe kwenye hayo mashirika,pita kwenye masheli omba kuongea na meneja,

Watu wa degree lakini hawapati kazi kwenye hayo mashirika ,wewe form 4 zaidi naona utakutana na matapeli tu ,


Utakuja humu na Uzi wakupigwa pesa
 
Thank you for your advice but everyone was born with his luck
Sawa subiri bahati ,ila mm nimekutahadharisha,mm Nina Grupu la nafasi za kazi Huwa napost, naongea haya nauzoefu, ninawaombea watu Kaz mbalimbali , siongei kwa kubahatisha ,nalijua soko la ajira vzr na vituko vyake ,Kuna watu Wana CPA hawapati hata nafasi za u Receptionist hayo mashirika unayotaka wewe uunganishwe

Hata kazi za usafi tu Zina vipengere ,
 
Yaani wewe unanikumbusha kule fb, wadada hawana elimu au Wana form 4 tu, utakuta nataka kazi za Supermarket,sheli ,duka au maduka ya nguo

Matapeli wanawapalaza sana

Huna elimu halafu unataka kazi za kuchagua zile laini laini
 
Mpaka hapo umeanza kuchagua kazi; kwa elimu yako hutakiwi kubagua kazi.
Kuna kazi za kuchoma mahindi, kukaanga chipsi, n.k
Ungesema unatafuta kazi yoyote ya kutumia nguvu na akili kidogo​
Tena anachagua kabisa mashirikia ya usafirshaji,bandarini , yaani huko anaona ndio kwenye pesa wakati hana taaluma yoyote ,ili Hali Kuna watu Wana degree na masters hawapati nafasi kwenye hayo mashirika
 
Msimwandame sana kijana mkuu.
🤣🤣kizazi cha AI hiki ana elimu ya form 4 lakini anachagua kazi,Kuna mmoja alinifata Leo hivi ,anasema ana form 4 anahitaji kazi akataka ,nikamwambia Kuna kazi ya ulinzi ,akasema hakuna nyingine, yaani form 4 anachagua Kazi ,ndio Hawa

Wanataka kazi za sheli, supermarket,utingo, bandarini wakati hawana taaluma yoyote
 
🤣🤣kizazi cha AI hiki ana elimu ya form 4 lakini anachagua kazi,Kuna mmoja alinifata Leo hivi ,anasema ana form 4 anahitaji kazi akataka ,nikamwambia Kuna kazi ya ulinzi ,akasema hakuna nyingine, yaani form 4 anachagua Kazi ,ndio Hawa

Wanataka kazi za sheli, supermarket,utingo, bandarini wakati hawana taaluma yoyote
Noma sana
 
Habari Mkuu katika kuandika tangazo la kuomba ajira zingatia yafuatayo .

Wasifu wako (CV)

Andika Kazi ambazo umefanya mfano , nimewahi kuwa mpishi , nimewahi kuwa muhudumu wa ofisi , msimamizi wa biashara n.k.


Baada ya hapo andika Kazi ambazo unazifatilia mfano

Usimamizi wa biashara
Upishi katika mahotel

Ukimaliza unaandika kuwa pamoja na wasifu wangu huo Ila ninaweza kufanya na baadhi ya Kazi ambazo ni za kufundishika.

Mfano kuwa transporter , kuwa wakala wa mizigo. Bidhaa n.k, afisa masoko na mauzo n.k



Jitahidini vijana mjielezee vizuri na mjue baby steps hatua za awali za kutafuta Kazi .

Ukiwa job hunter you need to be smart enough katika kujielezea na kujua hasa nini unataka.

All the best .

Kama hauwezi tafuta mtu umlipe akusaidie kukuandikia wasifu mzuri ambao utakuwa unautumia kuombea Kazi.
 
Back
Top Bottom