Habari zenu wadau, ushauri

VPN USED2020OCTOBER28

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2011
Posts
1,505
Reaction score
674
Wadau,

Nilianza kujichua toka nikiwa form one yaani nilionza tu naona kabisa kujichuani zaidi ya kufanya mapenzi.Hata nikifanya mapenzi lisaa kupizinachukua kama limoja hivi na huwa sipati raha kabisa ila ninayemgegeda huwa anapata raha sana.

Na huwa ananiambia mimi in kidume kweli maana huwa yeye(demu) anamwaga mara nyingi kabla hata mimi sijamwaga! Sasa alimsimulia rafiki yake ni mzuri wastani.

Naye akaja gheto akafanya mitego mimi nikainga kingi mara nikafanya naye mapenzi, sasa naye ilinichukua kama lisaa limoja kukojoa msichana wakati kashapizi mara kibao. Mwisho wa siku mimi sipati raha kabisa wao ndiyo wanapata raha jamani.

Naombeni ushauri je, nifanyeje ili niwe namwaga mapema?
 
Hongera kwa kuwakojolesha, maana huo ni ugonjwa wa wa wanaume wengi sisi / baadhi, na si ajabu ukafuatwa PM nao hao wa kike (baadhi lakini).
Anza kuvuta hisia za unayefanya mapenzi naye zaidi ya kufanya tu ili utimize wajibu, na kwa mtindo huo wataambiana wengi na watakuja kukutega kidogo na magonjwa pia yatakunyemelea.

Tafuta ushauri wa Daktari akusaidie, ama kama utaona aibu, ui-post thread hiyo katika jukwaa la JF Doctor. La mwisho nakupa pole kwa kutumia nguvu nyingi kiholela, zaidi kama hujaoa, ukishapata ushauri wa wataalamu madaktari, uoe ili umfurahishe mke na sio nguvu zako za ujana uzimalize kwa malaya.

Ahsante!
 
Usijali watakuja kukushauri, walikuwa wanawafuatilia watangaza nia
 
Umwage mapema nini sasa? maji taka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…