Habari zenu wadau..

Hahaa akijichanganya jukwaa la siasa ajiandae kushuka cheo kuitwa kilaza
teh teh teh akija kule ajiandae kutengeneza maadui wasiojulikana.

Mtu anakutukana leo, halafu anasahau hata kama amekutukana, mnakutana uzi mwingine anakusapoti balaa.

JF sometimes huwa tunaenjoi sana humu aiseee
 
Hahahaa kali zaidi mkute mnaishi kitaa kimoja katika kupiga story mnajikuta kumbe ndio maadui mtandaoni
teh teh teh akija kule ajiandae kutengeneza maadui wasiojulikana.

Mtu anakutukana leo, halafu anasahau hata kama amekutukana, mnakutana uzi mwingine anakusapoti balaa.

JF sometimes huwa tunaenjoi sana humu aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…