Kila la heriNipo Dubai nataka ninunue hizo simu nije nazo nyumbani Tanzania
Nitafutieni wateja wa jumla
Nina pcs 200 kila moja nataka elfu 27
Utafikia wapi ?Zinauzika?
2 pcs for me mzigo ukifikaNipo Dubai nataka ninunue hizo simu nije nazo nyumbani Tanzania
Nitafutieni wateja wa jumla
Nina pcs 200 kila moja nataka elfu 27
Okay nitakucheki Mkuu by j5 mchanaNipo dar
Jengo la RITA
Ghorofa ya 12
Jina la ofisi
Ardor General Trading Ltd
Soko lipo mkuuZinauzika?