Habari zenu wanajamii! Nimekuja kutoka uswaiilini

Habari zenu wanajamii! Nimekuja kutoka uswaiilini

kutoka-uswazi

New Member
Joined
Jul 4, 2012
Posts
2
Reaction score
0
Habari zenu wanajamii wote!naomba mnipokee pia nategemea muongozo wenu jinsi yakushiliki kwenye mijadala mbalimbali
 
karibu sana sana!!..ila tabia za kiswazi marufuku.
 
karibu ila tabia za kiswazi huko huko. mwone BAGAH ulipie utambulisho.
 
Last edited by a moderator:
Karibu chai na karoti nahisi utakuwa unauzoefu nacho
 
karibu mjini...hapa ndio JF, kuna mitaa mingi sana kama MMU, Chit Chat, Hoja Mchanganyiko n.k hakikisha tu haupotei
 
karibu jamvini!!!!!!! njoo kwenye group la waswaz tundeleze uswaili mwaya
 
Back
Top Bottom