Zanziquest Limited
Member
- Jun 20, 2019
- 11
- 5
Asante sanaKaribu sana JF mjukuu wetu GT.
Kisiwa cha Zanzibar sio kikubwa, ila kina sehemu tofauti tofauti za kutalii. haswa kwenye mambo ya khisotria, ukiwaunataka ku enjoy na vile vile sehemu nyingi tu nzuri kwa ajili ya ku relax tu. Fukwe za Zanzibar ni moja kati ya fukwe bora kabisa Afrika Mashariki.Zanzibar kubwa wapi hasa!
Kama ndivyo nilivyokufahamu, mambo ya kipozea na mkia wa maana hayo yatakuwa nje ya uwezo wetu kwa kweli.Karibu sana na wewe
Naam shehe na vipi kuhusu vipozeo yaani kama langi ya mtume na mkia wa maana
Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana nasi kwenye namba 0672728871Naomba contact zako, nahitaji maelezo zaidi
Wapi ofs?Natumai Nyote ni wazima wa afya na aliekuwa si mzima basi Mungu atamponesha.
Kama Username ilivyo, ni Tour operator ambayo ipo visiwani Zanzibar.
Tunapenda kuwakaribisha wale ambao wangependa kutembelea visiwa vya Zanzibar, nitakuwa na post group tours na kwa aliekuwa interested anaweza kufanya booking nami.
Asanteni Sana! tukuze utalii wa ndani π
Unaweza kutufollow Instagram @zanziquest
Ofisi Zetu zipo Zanzibar, mtaa wa mombasa, kigorofani streetWapi ofs?
HapanaHamhitaji guides?