Habari zenu Waungwana

Habari zenu Waungwana

Kardinali

Member
Joined
Aug 2, 2010
Posts
11
Reaction score
3
Baada ya kuwa mtazamaji kwa kipindi kirefu kidogo, nimeona muda wa kubaki kama mtazamaji umetosha sasa. Nimeamua kujongea jamvini hapa JF ili niweze kushiriki vema mijadala mbalimbali nanyi wenzangu. Natumaini nimekaribishwa tayari jamvini.
 
Baada ya kuwa mtazamaji kwa kipindi kirefu kidogo, nimeona muda wa kubaki kama mtazamaji umetosha sasa. Nimeamua kujongea jamvini hapa JF ili niweze kushiriki vema mijadala mbalimbali nanyi wenzangu. Natumaini nimekaribishwa tayari jamvini.
Karibu..........LAKINI .............. kumbuka ............ USITEGEMEE KILA KITU KITAKUWA NI CHA KIDINI HUMU NDANI.............sori....I min du noti spirichoraizi ichi endi everi thingi you ridi oru hia in dhisi foramu..
 
Back
Top Bottom