A M. Lyimo
Member
- May 27, 2013
- 50
- 27
Karibu JF. Tuma PM kwa Invisible atakusaidia kuwa Verified User.
Karibu sana jamvini.Kwa moyo mkunjufu nawasalimu nyote asalamu alyekumu na bwana yesu asiwe. Nachukua fursa hii kujitambulisha kwenu nikiwa nipo kamili kabisa kuwa Verified User.
Naombeni wenyeji wangu mnisaidie how can I be Verified user?
Naomba mwongozo
A M. Lyimo
Asante sana Katavi.Karibu sana jamvini.
Asante Watu8. Nashukuru kwa kunikaribishaKaribu sana JF...
Asante sana. Nafikiri bila shaka kabisa ukitumia ID yako JF utafaidika sana. Kikubwa ni kufahamu na kufuata sheria na taratibu zilizo wekwa hapa.Karibu mkuu hapa huduma zote utapata kwani tuna madaktari hadi wale wa akina prof maji marefu.ebu pm invisible atakusaidia ila sisi tunaogopa kupelekwa mabwepande ndio maana tunatumia id za majina feki.
Karibu sana JF mkuu.