Habari zenu,

Habari zenu,

up-grader

Member
Joined
Jul 23, 2010
Posts
8
Reaction score
1
Kwanza natanguliza shukran kwa wana JF wote kwani nimekuwa nikinufaika saana na taarifa nyingi, ningependa kuwa active member,

Mim ni mfanya kazi, na mjasiriamali, naishi Dar.

ni mtaalam wa mabo ya uchumi na kodi (economics, accounting, finance & tax),

ni mfugaji pia, kwa sasa kuku, bata na nguruwe (huku si mtaalam-najifunza)

naombeni ushirikiano wenu.
 
Kwanza natanguliza shukran kwa wana JF wote kwani nimekuwa nikinufaika saana na taarifa nyingi, ningependa kuwa active member,

Mim ni mfanya kazi, na mjasiriamali, naishi Dar.

ni mtaalam wa mabo ya uchumi na kodi (economics, accounting, finance & tax),

ni mfugaji pia, kwa sasa kuku, bata na nguruwe (huku si mtaalam-najifunza)

naombeni ushirikiano wenu.
Karibu sana jamvini.
 
Kwanza natanguliza shukran kwa wana JF wote kwani nimekuwa nikinufaika saana na taarifa nyingi, ningependa kuwa active member,

Mim ni mfanya kazi, na mjasiriamali, naishi Dar.

ni mtaalam wa mabo ya uchumi na kodi (economics, accounting, finance & tax),

ni mfugaji pia, kwa sasa kuku, bata na nguruwe (huku si mtaalam-najifunza)

naombeni ushirikiano wenu.

Karibu mchumi
 
Back
Top Bottom