Kwanza natanguliza shukran kwa wana JF wote kwani nimekuwa nikinufaika saana na taarifa nyingi, ningependa kuwa active member,
Mim ni mfanya kazi, na mjasiriamali, naishi Dar.
ni mtaalam wa mabo ya uchumi na kodi (economics, accounting, finance & tax),
ni mfugaji pia, kwa sasa kuku, bata na nguruwe (huku si mtaalam-najifunza)
naombeni ushirikiano wenu.
Mim ni mfanya kazi, na mjasiriamali, naishi Dar.
ni mtaalam wa mabo ya uchumi na kodi (economics, accounting, finance & tax),
ni mfugaji pia, kwa sasa kuku, bata na nguruwe (huku si mtaalam-najifunza)
naombeni ushirikiano wenu.