Wadau! Nachukuwa nafasi hii kuwapongeza sana kwa uvumilivu, ujasiri, ukosoaji (ingawa wengine c wa msingi) etc... Kwa kweli mmeifanya hii blog isikike sana n bila nyinyi I believe isingefikia hapa ilipo....
Mimi ni mgeni though nachukuwa nafasi hii kujumuika nanyi ili niweze kuchangia mada mbalimbali ambazo zitasaidia katika kukosoa, kukemea, kuburudisha etc...
Naombeni ushirikiano wenu...