Huo mguu vipi? naonana wengi wanaopiga picha na kuweka mguu hivyo ni wanawake kama ni wanaume wanaliwa donatiHabarii za kwenuView attachment 765444
Yaani mtu unaona kabisa anaitwa mkwizu alafu unasema wasukumaWasukuma bana.
Labda wewe ndio uoleweeeDogo angalia, utaolewa humu mdogo wangu. Wengi humu waume za watu, watakufanya mke wa pili.
Kua makini san mdogo wangu.
Bomoa nawewe twende sawaaaYaani hapo ndio umebomoa kabati dogoo...wacha weee eeh!!
[emoji106]Wasukuma bana.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Naona mnaleta mambo yenu ya facebook humu..na koti lako la kipaimara hilo.
Hahaha..koti la kipaimara..umetisha mkuuNaona mnaleta mambo yenu ya facebook humu..na koti lako la kipaimara hilo.
Sibomoi na watoto mm,.pole kwa hilo.Bomoa nawewe twende sawaaa
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji20]Sibomoi na watoto mm,.pole kwa hilo.
[emoji23] mwambie hawawekagi picha umuJaman [emoji114][emoji114][emoji13][emoji13]
[emoji23] mwambie hawawekagi picha umu
fb imevamia huku......Habarii za kwenuView attachment 765444
Aiseeh!!Habarii za kwenuView attachment 765444
Unazingua ujueMbona mtoto