Habarini members

NYEHUNGE

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2013
Posts
344
Reaction score
68
Habari zenu wana JF. Mi hapa ni mgeni na kuna baadhi ya vitu sijavijua sana, nitashukuru sana endapo nitapata mtu wa kua ananielekeza japo kidogokidogo jinsi mambo yanavyoenda humu ndani. Natanguliza shukrani zangu.
 
Sa hivi naona nimeanza kuzoea,,asanten sana kwa ukarimu wenu.
 
Asalaam aleikum jf, hakika w aheshimiwa wanatuangusha kweli.
 
Habari zenu wana JF. Mi hapa ni mgeni na kuna baadhi ya vitu sijavijua sana, nitashukuru sana endapo nitapata mtu wa kua ananielekeza japo kidogokidogo jinsi mambo yanavyoenda humu ndani. Natanguliza shukrani zangu.

Karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…