Tupeane mawili matatu. si unajua mjini hapaAhsante mkuu, inbox kunani
Mkuu hiyo hio ni picha tu kama wewe mwenyewe ulivosema lakini jinsia ipo clear ukiangalia utaona hapo kwenye gender hapo,sidhan kuna kitu kinachanganya mkuuSasa wew jitu la kiume unaweka picha ya kike unatuchanganya bana unaona mdau hapo juu kasema nenda inbox akijua wew mwanamke kumbe wew ni kidume... Nenda inbox ukaombwe choo
Ila hiyo avatar yako ilinichanganya kidogo [emoji23]Asante sana mkuu ledada
Hayo mambo ya pmHa ha asante mkuu hebu anza kushusha hizo nondo hapa
Inachanganya wakuu wanajua wewe ni keWhy mbona ni picha kawaida tu mkuu