Duh, ila avatar ndo inakutambulisha kwanza kabla ya kuanza kuangalia mengine. Ila kama iko sawa kwako fureshi [emoji110]Lkn ukitaka kujua jinsia si unaangalia tu fasta hapo nadhani ndio njia sahihi,maana wengine wameweka picha za vitu tofaut km watoto, wanyama nk au
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Khaa kumbe ni me
Duh kumbe nimeita mgudume pm
Hata ucje tena
Afadhari umeitoa maana ingekuletea mushkeri kidogo, ... Karibu sana.Mkuu ngoja niitoe tu maana niliweka km picha ya kawaida tu