Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Japo tunafahamu watamalizana kirahisi tu maana wote ni wamojaHakika amejaa kwenye mifumo!
Hatari sanaView attachment 3270285
Kilichomponza hiki hapa
View attachment 3270286
Kwa Wasiomfahamu- Habib Mchange ndiye mmiliki wa Gazeti hilo, Ni Mtu anayeshikilia nafasi ya pili kwa Kumtukana Mzee Lowassa Matusi ya nguoni wakati ule wa kampeni za Urais 2015, Namba moja ilishikwa na Nape Nnauye.
ndiyo siasa, kutukana, kudhalilishana, kusalitiana and the like, kubagazana, kusema uongo...simshangai maana wengi if not all tuko hivyo hasa ikija kugombea madaraka...sikiliza hiyo... najua hutaipenda lkn isikilizeView attachment 3270285
Kilichomponza hiki hapa
View attachment 3270286
Kwa Wasiomfahamu- Habib Mchange ndiye mmiliki wa Gazeti hilo, Ni Mtu anayeshikilia nafasi ya pili kwa Kumtukana Mzee Lowassa Matusi ya nguoni wakati ule wa kampeni za Urais 2015, Namba moja ilishikwa na Nape Nnauye.
Nape Nnauye rekodi yake ya kutukana Lowassa haijawahi kuvunjwa, labda kama huelewi maana ya Matusi ya nguoniNamba moja kwa kumtukana lowasa ni chadema kisha mange
Kuliko comment hii bora ungebaki na comment yako ile tuliyozoea ya Duuu aiseNamba moja kwa kumtukana lowasa ni chadema kisha mange
Nape Nnauye rekodi yake ya kutukana Lowassa haijawahi kuvunjwa, labda kama huelewi maana ya Matusi ya nguoni
Kuliko comment hii bora ungebaki na comment yako ile tuliyozoea ya Duuu aise
Hayo ndiyo Matusi ya nguoni? Tukuwekee Matusi ambayo Nape Alimtukana Lowassa hapa?Mlimtangaza fisadi namba moja. Kunya anye kuku akinya bata kaharisha
Hayo ndiyo Matusi ya nguoni? Tukuwekee Matusi ambayo Nape Alimtukana Lowassa hapa?
Sidhani kama kuna watu walimtukana na kumdhihaki lowassa zaidi ya hawa!View attachment 3270285
Kilichomponza hiki hapa
View attachment 3270286
Kwa Wasiomfahamu- Habib Mchange ndiye mmiliki wa Gazeti hilo, Ni Mtu anayeshikilia nafasi ya pili kwa Kumtukana Mzee Lowassa Matusi ya nguoni wakati ule wa kampeni za Urais 2015, Namba moja ilishikwa na Nape Nnauye.
Hizo namba ulizipanga wewe je ni halaliView attachment 3270285
Kilichomponza hiki hapa
View attachment 3270286
Kwa Wasiomfahamu- Habib Mchange ndiye mmiliki wa Gazeti hilo, Ni Mtu anayeshikilia nafasi ya pili kwa Kumtukana Mzee Lowassa Matusi ya nguoni wakati ule wa kampeni za Urais 2015, Namba moja ilishikwa na Nape Nnauye.
Wacha uongo,Chadema hawajawahi kumtukana Lowasa bali walimtuhumu kwa ufisadi yeye na viongozi wengine 10 waandamizi wa CCM akiwepo JK tena akiwa Rais. Watu waliomtukana Lowasa ni maccm wakiongozwa na Nape,Makonda,Msukuma, Musiba,Habib Mchange na wengineo.Namba moja kwa kumtukana lowasa ni chadema kisha mange
Tena hao walimtukana Matusi ya nguoniWacha uongo,Chadema hawajawahi kumtukana Lowasa bali walimtuhumu kwa ufisadi yeye na viongozi wengine 10 waandamizi wa CCM akiwepo JK tena akiwa Rais. Watu waliomtukana Lowasa ni maccm wakiongozwa na Nape,Makonda,Msukuma, Musiba,Habib Mchange na wengineo.