JOYOPAPASI
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 250
- 409
Habibu Mchange achukua Fomu na kurudisha kugombea Ubunge Jimbo lake la Kibaha Mjini asindikizwa na mkewe.
Mungu ni mwema.
======
Leo tarehe 15 Julai 2020, nimechukua, kuijaza na kuirudisha fomu ya kuomba kuteuliwa na chama cha mapinduzi (CCM) kuwa mgombea wa ubunge jimbo la KIBAHA MJINI
Tuombeane.
Pichani nikiwa na mke wangu mpenzi.
WAKATI WA MUNGU, NI WAKATI SAHIHI
Mungu ni mwema.
======
Leo tarehe 15 Julai 2020, nimechukua, kuijaza na kuirudisha fomu ya kuomba kuteuliwa na chama cha mapinduzi (CCM) kuwa mgombea wa ubunge jimbo la KIBAHA MJINI
Tuombeane.
Pichani nikiwa na mke wangu mpenzi.
WAKATI WA MUNGU, NI WAKATI SAHIHI