Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Wachezaji wa Simba HABIBU KIYOMBO NA JOASH ONYANGO wanaweza kujiunga na Timu ya Singida Fountaingate ya Singida.
Wachezaji hawa wanaweza kuondoka iwapo tu Simba itawapa mkono wa kwa heri au hata kuwatoa kwa mkopo.
Joash Onyango amekuwa akiomba kuondoka klabuni hapo kwa muda mrefu na hilo kwa sasa linaweza kufanikiwa.
Kwa upande wa Habib Kiyombo hajafanikiwa kuwa na msimu mzuri ndani ya timu ya Simba hivyo lolote linaweza kutokea kwake.
Baada ya hayo kufanikiwa kwao itakuwa njia nyeupe kwa walima ALIZETI wa mkoani Singida kuwatia mikononi mwao.
Wachezaji hawa wanaweza kuondoka iwapo tu Simba itawapa mkono wa kwa heri au hata kuwatoa kwa mkopo.
Joash Onyango amekuwa akiomba kuondoka klabuni hapo kwa muda mrefu na hilo kwa sasa linaweza kufanikiwa.
Kwa upande wa Habib Kiyombo hajafanikiwa kuwa na msimu mzuri ndani ya timu ya Simba hivyo lolote linaweza kutokea kwake.
Baada ya hayo kufanikiwa kwao itakuwa njia nyeupe kwa walima ALIZETI wa mkoani Singida kuwatia mikononi mwao.