Hacking ni kama safari ni passion kama ilivyo programming. Mtu anajifunza na ianchukua muda na experience na muda kujifunza vitu vingi na mifumo inavyofanya kazi. Mtu atakupa basics hata huko shuleni lakini 90% ni mtu mwenyewe kusoma na kujaribu.Habari wakuu dogo anapenda sana mambo ya cyber security na anataka chuo cha UNIQUE ACADEMY mim nilitaka aende UDOM yey kasema hyo UNIQUE ndo inamfaa wajuzi wa mambo ya Tec ushauri wenu hapa.
Vipi kuhusu hicho chuo cha unique Academy upanga pale kwa delivery ya content practical wise Ili dogo awe nondo akijiongeza.
AsanteHacking ni kama safari ni passion kama ilivyo programming. Mtu anajifunza na ianchukua muda na experience na muda kujifunza vitu vingi na mifumo inavyofanya kazi. Mtu atakupa basics hata huko shuleni lakini 90% ni mtu mwenyewe kusoma na kujaribu.
Kama amelenga kujiajir na kuwa nyoko kabisa aende hapo unique kama anawaza ajira na kuwa wa nidhanu aende hapo udomHabari wakuu dogo anapenda sana mambo ya cyber security na anataka chuo cha UNIQUE ACADEMY mim nilitaka aende UDOM yey kasema hyo UNIQUE ndo inamfaa wajuzi wa mambo ya Tec ushauri wenu hapa.
Vipi kuhusu hicho chuo cha unique Academy upanga pale kwa delivery ya content practical wise Ili dogo awe nondo akijiongeza.
kuwa nondo ni wewe na utafutaji wako, self learningdogo awe nondo akijiongeza
Kamaliza mwaka ganii?Dogo kamaliza form six kasoma PCM ufaulu division one ya mwisho
OkHabari wakuu dogo anapenda sana mambo ya cyber security na anataka chuo cha UNIQUE ACADEMY mim nilitaka aende UDOM yey kasema hyo UNIQUE ndo inamfaa wajuzi wa mambo ya Tec ushauri wenu hapa.
Vipi kuhusu hicho chuo cha unique Academy upanga pale kwa delivery ya content practical wise Ili dogo awe nondo akijiongeza.
YesShukrani so UDOM n better than hao wahindi wa Unique right
Kumbe,watakuja kumpa mwongozo wataalamu,ila DIT wako vizuri sanaDogo kamaliza form six kasoma PCM ufaulu division one ya mwisho