Unique Academy n chuo kikongwe cha IT Tz kiko upanga zamani nlisikiaga kilikuwa ndo funika kwa mambo ya IT kibongo bongo kwa Sasa sjui ndo nlitaka nipate ABC za wadau na ushauri wa vyuo vingineUnique ndio chuo gani si useme tu D. I. T??!
Ni passion Mzee wangu hakuna Chuo kinafundisha hizo mambo 100% sana sana utaambua 25% Ila yeye mwenyewe akiwa na passion basi hata Hana haja ya kwenda huko Chuo mwambie aingie online Havard University wanatoa hizo course bure bila kulipia asome ABC basi YouTube ndio darasa lake computer ndio kitendea kazi chake Google ndio njia ya safari yake kwa kuanzia Linux aijue vilivyo naamanisha Kali LinuxDogo kamaliza form six kasoma PCM ufaulu division one ya mwisho
Shukrani sana mkuuNi passion Mzee wangu hakuna Chuo kinafundisha hizo mambo 100% sana sana utaambua 25% Ila yeye mwenyewe akiwa na passion basi hata Hana haja ya kwenda huko Chuo mwambie aingie online Havard University wanatoa hizo course bure bila kulipia asome ABC basi YouTube ndio darasa lake computer ndio kitendea kazi chake Google ndio njia ya safari yake kwa kuanzia Linux aijue vilivyo naamanisha Kali Linux
Ada anayo au anakutegemea maana asije akawa anataja tu chuo amekuona googleHabari wakuu dogo anapenda sana mambo ya cyber security na anataka chuo cha UNIQUE ACADEMY mim nilitaka aende UDOM yey kasema hyo UNIQUE ndo inamfaa wajuzi wa mambo ya Tec ushauri wenu hapa.
Vipi kuhusu hicho chuo cha unique Academy upanga pale kwa delivery ya content practical wise Ili dogo awe nondo akijiongeza.
Ada ni sh ngapi hivi hapo Uniq ?Ada anayo au anakutegemea maana asije akawa anataja tu chuo amekuona google