Mkuu hapa hatufundishi watu kufanya uhalifu.Ni vigumu sana kuweza kujua password ya mtu kwa kutumia njia unayotaka wewe.Ukishajua password yake unataka umfanyie nini?hi everyone here in JF!
jamani hivi ukitaka kujua password ya e-mail iliyokuja kwenye inbox yako unafanyaje?
mwenye kujua jamani ani-PM, coz najua sio vyema kuanikwa hadharani, mi ninauliza kwakua there is some one is blackmailing me through email.
plz, nawasilisha.
Mkuu hapa hatufundishi watu kufanya uhalifu.Ni vigumu sana kuweza kujua password ya mtu kwa kutumia njia unayotaka wewe.Ukishajua password yake unataka umfanyie nini?
hi everyone here in JF!
jamani hivi ukitaka kujua password ya eail iliyokuja kwenye inbox yako unafanyaje?
mwenye kujua jamani ani-PM, coz najua sio vyema kuanikwa hadharani, mi ninauliza kwakua there is some one is blackmailing me through email.
plz, nawasilisha.
Uwezi kumpata labda utumie fedha nyingi kwenda kwenye domain yake kama ilivyo fanya kikwete kwenye zeutamu kwasababu kuna sheria za cyber crime jitaidi kugesi au tafuta software ambozo zinaweza kujua password ya mtu akiwa mbali na hata location na saa iliyo tuma hiyo email ila kwamtu wakawaida ya nini yote. Na ndio maana tunataka kuamia kwenye open source kwakutumia OBUNTU operating system operating system is aprogram that manage the resuorce of the computer and provide undestanding between the user and the hardware or 'Interface' nashukuru kwa hilo
Na ndio maana tunataka kuamia kwenye open source kwakutumia OBUNTU operating system operating system
kuna sheria za cyber crime
Uwezi kumpata labda utumie fedha nyingi kwenda kwenye domain yake kama ilivyo fanya kikwete kwenye zeutamu