Erotica, it was just a dream. You had no control over it. Ingekua ni mtu unae mjua tungejaribu kuona if your affinities with the concerned could have influended your dream. Ila kwa vile hata stranger mwenyewe humjui I think there is nothing to worry about.
Nitakushahuri tu usimwambie boyfriend wako about your dream (kama sio muelewa). Given that you can't have sex for a while he could feel a bit insecured about it.
Sikwepeshi sante.ndo maana nimebaki nawanda,haiwezi kuwa sawa na kucheat,ila huenda sina uhakika kuna jinamizi lilikujia ndotoni na likakufanya ukweli ndo maana nikakutel nenda sehemu za kiimani,kama church,manyaunyau...chagua wewe ila mungu zaid
hujacheat bana.lakini inasemekana mtu huyaota mawazo yake,sijekuwa kweli unamtamani stranger-teh teh msome Ngabu apo juu
ndoto za namna hiyo zinatokeaga alafu ukiamka you wonder hivi yule mtu niliyemuota kweli yupo?? naweza siku nikakutana nae barabarani...but what a fantasy having sex with a stranger and not just sex but good sex mpaka unaamka unakuta kitanda umeshakichafua...dayuummm!!!:A S tongue:
Sijawahi muona, simfahamu but still hapa nilipo namkumbuka bado,
his smile, his laugh, his height, his face features na esp his strong arms.
Ningekua najua kuchora nina picha kabisa. It is going to be hard to forget him aisee.
When you have the luxury of sleeping with a stranger in your dream
You don't go for cockroach style bwana... hapo umeni let down kidogo
But for the rest nadhani huja cheat. You are fine. Ulilala mchana?
Sijawahi muona, simfahamu but still hapa nilipo namkumbuka bado,
his smile, his laugh, his height, his face features na esp his strong arms.
Ningekua najua kuchora nina picha kabisa. It is going to be hard to forget him aisee.
Erotica hongea kwa kufikishwa butt real kulala ukaota unafanya au unafanywa ina maana umelala na jini na limekudo. Tena ukifuatilia kwa makini haya majini yanajua kukufanya ufike kilelen kuliko hata mwenzi wako na hii ni kama ndiyo njia yao ya kumwin huyo mwenzio. ANGALIA SANA yasije yakakuzalisha mtoto. manake yakiendelea yatakutia mimba na utaota kama ni mjamzito for somtimes kisha baadae utaota unanyonyesha mtoto ujue hapo yamekumimba na kukuzalisha mtoto jini hivyo utaongeza idadi ya majini duniani.
pia yakikupenda sana basi yanaweza kukufanya la relationship utakayokuwa nayo isidumu hata kama ni ndoa basi iwe na maugomvi tu yasiyo na sababu au hata job ukajikuta kazi haziend wala hupati hela. Ni mabaya sana haa majitu. Nenda yakaombewe yatoke kabla hayaja chafua mwili wako. huwa yanakuchafua mwili kwasasabu ya wivu manake kama alivyo mwanaume wa kawaida hapendi kuna mwenzi wake ana mwanaume mwingine ndivyo yalivyo na haya.
Next time huyo jini akikutokea mpe number yangu ya simHii habari mbaya hii. Raha yote ile unaniambia ni jini? Kuna ubaya nikiwa nafanya
bila kujitambua hivo? Si linakuja lenyewe siliiti kwa hio sio dhambi?
Kweli ile style chiboko! hadi ndotoni umekua makini. hahahahaMwali ile style alileta shemeji yako unadhani nina hamu ya style nyingine yoyote?
Hadi ndototoni nilitaka missionary. Alafu hivi mara ya kwanza una ubavu wa kutumia
style zaidi ya traditional? Labda nikimuota tena tutabadilisha.