OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 53,868 Reaction score 121,001 Oct 11, 2022 #1 Huwezi kufanya vitu viwili kwa wakati mmoja. Hivi punde tumemkosa chup chup IST mmoja alikuwa anaingia barabarani kubwa huku anaongea na simu. Hii ni kasumba mbaya sana ambayo wengi wetu tunayo. Kuna wakati dreva anaongea na simu ya kawaida tu haina dharura yeyote. Epusha ajali zisizo za lazima, utakufa uache watoto na familia. Utakufa utuachie mkeo tumtafune bila huruma
Huwezi kufanya vitu viwili kwa wakati mmoja. Hivi punde tumemkosa chup chup IST mmoja alikuwa anaingia barabarani kubwa huku anaongea na simu. Hii ni kasumba mbaya sana ambayo wengi wetu tunayo. Kuna wakati dreva anaongea na simu ya kawaida tu haina dharura yeyote. Epusha ajali zisizo za lazima, utakufa uache watoto na familia. Utakufa utuachie mkeo tumtafune bila huruma
Notorious thug JF-Expert Member Joined Dec 29, 2021 Posts 2,817 Reaction score 10,667 Oct 11, 2022 #2 Just smoke and fly!
Lovebird JF-Expert Member Joined Sep 27, 2012 Posts 6,383 Reaction score 9,337 Oct 11, 2022 #3 Kwahiyo wanaume tu ndo wana kasumba ya kuongea na simu barabaranii? Anyway ujumbe umefika pahala pake
Kwahiyo wanaume tu ndo wana kasumba ya kuongea na simu barabaranii? Anyway ujumbe umefika pahala pake