Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Nina maswali yafuatayo kuhusu hadhi au wadhifa wa baba a Taifal
1.Je,wadhifa huu uko katika katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?
2.Kama haupo sababu ni nini au ni wadhifa usiostahili kuingizwa katika katiba?
3.Katika mataifa mengine wadhifa huu uko kikatiba?
4.Kama wadhifa huu haupo kikatiba,si busara sasa ukaingizwa katika katiba mpya?
Najua hatutarajii kuwa na baba wa Taifa zaidi ya Mwalimu Nyerere lakini ni busara kama katiba ya nchi itatambua wadhifa huo kama ilivyo kwa Raisi wa nchi,Makamu wa Raisi,Waziri Mkuu na nyadhifa zingine za kitaifa.
1.Je,wadhifa huu uko katika katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?
2.Kama haupo sababu ni nini au ni wadhifa usiostahili kuingizwa katika katiba?
3.Katika mataifa mengine wadhifa huu uko kikatiba?
4.Kama wadhifa huu haupo kikatiba,si busara sasa ukaingizwa katika katiba mpya?
Najua hatutarajii kuwa na baba wa Taifa zaidi ya Mwalimu Nyerere lakini ni busara kama katiba ya nchi itatambua wadhifa huo kama ilivyo kwa Raisi wa nchi,Makamu wa Raisi,Waziri Mkuu na nyadhifa zingine za kitaifa.