PHD au PhD? Moja Kati ya hizo ni Per head deseartMambo ya PhD ya cashew nut shell liquid (CNSL) hayo
Rubbish threadmakonda
msiba
kibajaji
msukuma
Nashangaa sana daktari mzima unashauriwa na kuwa beneti na watu wa aina hii!??
Tatizo ni nini!?
Kwa wale wapenda mabadiliko wenzangu nchini, udhaifu, migogoro na ubaya wa CCM kamwe hautufanyi sisi kuwa imara, Hayo ni yao ndani ya Chama chao. Tushugulike na mambo serious ya Taifa. Uchumi ,Demokrasia , Utawala bora na Uhuru wa kujieleza.Rubbish thread