Hadi Fid Q? Nimebaki kuduwaa

MC Chere

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2015
Posts
586
Reaction score
400
Leo akiwa Chato kwenye kampeni za mgombea urais kupitia CCM,amepanda jukwani kuwarubuni mashabiki wake kwa tungo za kuipamba CCM.

Kwanza niseme kuwa,huyu bwana nilikuwa ninamheshimu sana kutokana na tungo zake mahiri na hata za kuponda serikali,rejea Propaganda.

Pili,wasanii wengi wanaojikita katika misingi ya hip hop ni wanaharakati wanaotaka mabadiliko hivyo ni wafuasi wa UKAWA ambalo ni tumaini pekee la Watanzania.

Hivyo kwa hadhi/level yake kiukweli ameshusha hadhi kwani amesalimu amri kwa kuwa kuna mil 50.

Taratibu naanza kutafakari upya juu ushabiki wangu juu yako maana kila kwenye mpambano na Joh Makini daima nilikuweka namba 1 lakini you are no more valuable.
 

sijawah kumshabikia huyu jamaa mm siku zote niko kwa joh makini kwenye hip hop
 
Unataka alale njaa? ingekuwaje kama angewaimbia UKAWA? Mwache ale pesa bhana
 
Fid now kachoka , anajiita legend wakat inabid watu u legend wakuiite nasio wew mwenyw kujipa cheo , amenasa now anasaka pesa kwa style yoyote bila hata kuangalia value yake itakuwaje baada ya hayo makampen , kingine lazima tufahamu kuwa ccm wanatumia umasikian na ufukara wetu kama mtaji
 
huyu jamaa kimuonekano ni hiphop ila ndani ni mlaini sana. Ana kaunafki flani hivi.... sio kwasababu amefanya show kwa ccm
 

Watu wametoka ccm kuja ukawa tena mawazili afu iwe huyo Fid Q?si ni sisi wenyewe ndo hua tunasema siasa haina uadui wa kudumu,huyo mwanamziki ni mtu kama watu wengine na ana uhuru wa kwenda chama chochote au kukisapot chama chochote,we unadhani ufikiliacho wewe ndo na mwingine awe kama wewe?usimshangae huyo ni mambo ya kawaida tu
 
Demokrasia inaruhusu mtu kufuata mrengo wowote..sioni kosa lake mbona CUF ni WALIBERALI wanaunga mkono ushoga?
 
Yaani kuna watu sijui wivu ama sijui niseme nini kwani ajabu ni nini fid Q kuinadi ccm mbona Neema na wengineo wanainadi chadema siasa za chuki mbaya sana
 
Yaani kuna watu sijui wivu ama sijui niseme nini kwani ajabu ni nini fid Q kuinadi ccm mbona Neema na wengineo wanainadi chadema siasa za chuki mbaya sana

Ungeijua tofauti ya CCM na UKAWA,

Tofauti ya nchi masikini na tajiri.

Mfanano wa siasa mbovu na maendeleo duni.
usingesema hayo maana inakulazimu uwe mwanamageuzi.
 
Ungeijua tofauti ya CCM na UKAWA,

Tofauti ya nchi masikini na tajiri.

Mfanano wa siasa mbovu na maendeleo duni.
usingesema hayo maana inakulazimu uwe mwanamageuzi.

Kuwa mwanamageuzi haimanishi uwe na chuki kiasi hicho. Nakua mwanamageuzi hakumanishi wote mfanane kimtizamo yeye kaona vile aonavyo nawe umeona vile uonavyo sasa ajabu nini labda.
 
Pesa inaweza kununua ambavyo hata hujawahi kufikiri!!
 

Eti ni wafuasi wa ukawa! Tutolee upuuzi wako! Mtu mwenye akili timamu haitaji hata kujua ukawa nini! Mbowe mwenyewe keshaa wapiga chini wakina nccr cuf na wenzake alafu mnasema bado ni union!
 
Mtoa Mada and the likes mna IQ ndogo siwez kuwalaumu sababu sio kosa lenu.
 
Reactions: BRN
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…