Demokrasia inaruhusu mtu kufuata mrengo wowote..sioni kosa lake mbona CUF ni WALIBERALI wanaunga mkono ushoga?
Fiq q anajina kubwa ila kuimba hatujui mi sijawahi kuona uzuri wa nyimbo zake kiukweli kwa weusi haingii hata robo.
Mtoa Mada and the likes mna IQ ndogo siwez kuwalaumu sababu sio kosa lenu.
Leo akiwa Chato kwenye kampeni za mgombea urais kupitia CCM,amepanda jukwani kuwarubuni mashabiki wake kwa tungo za kuipamba CCM.
Kwanza niseme kuwa,huyu bwana nilikuwa ninamheshimu sana kutokana na tungo zake mahiri na hata za kuponda serikali,rejea Propaganda.
Pili,wasanii wengi wanaojikita katika misingi ya hip hop ni wanaharakati wanaotaka mabadiliko hivyo ni wafuasi wa UKAWA ambalo ni tumaini pekee la Watanzania.
Hivyo kwa hadhi/level yake kiukweli ameshusha hadhi kwani amesalimu amri kwa kuwa kuna mil 50.
Taratibu naanza kutafakari upya juu ushabiki wangu juu yako maana kila kwenye mpambano na Joh Makini daima nilikuweka namba 1 lakini you are no more valuable.
Fiq q anajina kubwa ila kuimba hatujui mi sijawahi kuona uzuri wa nyimbo zake kiukweli kwa weusi haingii hata robo.
Leo akiwa Chato kwenye kampeni za mgombea urais kupitia CCM,amepanda jukwani kuwarubuni mashabiki wake kwa tungo za kuipamba CCM.
Kwanza niseme kuwa,huyu bwana nilikuwa ninamheshimu sana kutokana na tungo zake mahiri na hata za kuponda serikali,rejea Propaganda.
Pili,wasanii wengi wanaojikita katika misingi ya hip hop ni wanaharakati wanaotaka mabadiliko hivyo ni wafuasi wa UKAWA ambalo ni tumaini pekee la Watanzania.
Hivyo kwa hadhi/level yake kiukweli ameshusha hadhi kwani amesalimu amri kwa kuwa kuna mil 50.
Taratibu naanza kutafakari upya juu ushabiki wangu juu yako maana kila kwenye mpambano na Joh Makini daima nilikuweka namba 1 lakini you are no more valuable.
Kwani lazima kila mtu achague ww unapopataka haya Leo ukimuona joh pale Arusha anatumbwiza kwa magufuli utasema nn hapa Jf acheni bhana mtu ajiamulie pakwenda halafu pale ni Bukoba sio chato kk
Yan wtz. Tuna hurka moja. Unataka unachokichukia ww na wengine wakichukia. Acheni ushabiki wa kupitilizaa nyie. Bavichaa
sijawah kumshabikia huyu jamaa mm siku zote niko kwa joh makini kwenye hip hop