Hadi Fid Q? Nimebaki kuduwaa

Hawa jamaa wanatamani wapinzani wao wafe..wanapenda kulalama sana na kujidai wanatoa laana!

na ndio maana najuta kuwaamini at one pint miaka miwili mitatu iliopita!hawaaamini kama wanaweza kosea,so hawawez rudi to the drawing board mambo yanapokwenda kombo.ni kama huwa wanajipulizia tu pafyum kama excuse ya kutokuoga eti sababu watanukia kwa muda huo tu.UKAWA na mashabiki wao wanazungumzia 'misimamo'???wanayo???
hata sasa hawasimamii walichokiamini na kutuaminisha since 2006 kuuhusu ufisadi na mafisadi...sana sana wameenda kuukumbatia na kumuabudu waliembatiza kama fisadi papa eti kwa excuse ''utafiti''!kama kwa ''utafiti'' taasisi unayoiamin ilishindwa kusimamia inachoamini,vipi unalaumu WEWE kulaumu alieamua kuamini anachokiamini??!BESIDES,HAKUNA ALIEWAPITISHA WAO NA WENZAO KAMA NDIO KIPIMO CHA UBORA!
 
Amesimama kwenye jukwaa lipi la UKAWA?! Unaweza mfananisha na Polepole unaposema 'pure'? Maana Polepole ni pure CCM na hafichi.

Point ni Analilea Nkya sio Polepole then sidhani kama ni kosa mtu kuonyesha msimamo wake hata kama unatofautiana na wengi
 
Joe hawezi fanana NGOSHA hata iweje!Fid yuko levo zingine za mbali mno...hapotezi ukali wake kama mwanamuziki eti sababu haamini wanachoamini ukawa na ''washabiki'' wao!
 
Mimi naona watafute kisiwa wahamie kule maana hakuna namna kila anayekua tofauti nawao mbaya tu.
Bado najiuliza hivi ni demokrasia gani ambayo wao wana hubiri kila leo ikiwa hawataki kuona watu wana tofautiana nao?
Mbona sisi hatuwasemi wakina Kala,Niki mbishi,Roma, na tunaheshimu maamuzi yao?
 

nahamu sana kujua Fid q next single itahusu nini.....#uanaharakati kushney....
 
fid ni mwandish mahiri(bila kujali kama anatafsiri slogans zenye controversy), ila ana mapungufu katika uhalisia,so hayupo real...haishangazi kwa alilofanya PERIOD
 
fid ni mwandish mahiri(bila kujali kama anatafsiri slogans zenye controversy), ila ana mapungufu katika uhalisia,so hayupo real...haishangazi kwa alilofanya PERIOD

bora kuwa pazia kuliko bendera kufuata upepo!
Mangapi yametokea toka Jan 2014 ulipojiunga JF hadi leo na hujayasemea!
We ni kiazi tu!
PERIOD!
 
Watu sasa mnakoelekea siko kabisa, yaani kila mtu anapaswa kuwaza kama nyie tu na hapaswi kuwa na msimamo binafsi kwa vile tu ni msanii maarufu? Mabadiliko sio kwa kupitia Lowassa peke yake, kama huamini waache.wengine wanaoamini hilo.
Kuna watu wanaona kwa mapana,,, wewe ni mmoja wao
 
unadhani hilo jina kubwa alilipata kwa kutunga shanga?
Wewe unamjua,yeye hakujui!
Nukta.

Anijue ili iweje mwenyewe akili division five naona kijambio kinakuwasha kinataka gunzi kukunwa eeeh. Mxiiiiiiiiuew
 
Anijue ili iweje mwenyewe akili division five naona kijambio kinakuwasha kinataka gunzi kukunwa eeeh. Mxiiiiiiiiuew

uzao wa makahaba watoto wa mbwa hamjifichagi!..,kwa kupenda kujipaisha kindezi..wewe una akili division ngapi unaemshobokea mwenye akili division 5?
 
uzao wa makahaba watoto wa mbwa hamjifichagi!..,kwa kupenda kujipaisha kindezi..wewe una akili division ngapi unaemshobokea mwenye akili division 5?

Division five at work it doesn't matter to me mxiiiiiiiew you may say whatever I don't care mfyuuuuu u rather open ua a..s hole nitolee. Utoko wa go.NDA Mimi koma kuni quote kisengerema,mwanzo mwisho
 
Division five at work it doesn't matter to me mxiiiiiiiew you may say whatever I don't care mfyuuuuu u rather open ua a..s hole nitolee. Utoko wa go.NDA Mimi koma kuni quote kisengerema,mwanzo mwisho

hahahahahahaha.....kwahiyo ukiandika kiingereza ndo nikuone matawi?.we pimbi tu!.,na mikwara wapige mafala wenzio!..JF ya babaako?
 
hahahahahahaha.....kwahiyo ukiandika kiingereza ndo nikuone matawi?.we pimbi tu!.,na mikwara wapige mafala wenzio!..JF ya babaako?

Kumbe wewe una judge mtu matawi kwa lugha mbona hata kiswahili ni lugha adhimu yenye heshima. Hebu ukue akili sio ukue tu mazivu ka steel wire,hahaaa๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ pimbi hicho kibamia cha downstairs ndo shida ya mazombie ya gombe ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ
 
Kumbe wewe una judge mtu matawi kwa lugha mbona hata kiswahili ni lugha adhimu yenye heshima. Hebu ukue akili sio ukue tu mazivu ka steel wire,hahaaa๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ pimbi hicho kibamia cha downstairs ndo shida ya mazombie ya gombe ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ

alaaa,kumbe kiswahili unajua!...afu una matusi mepesi sana,nimechagua tu kukupuuza!
Osha papa hilo,lala!
 
alaaa,kumbe kiswahili unajua!...afu una matusi mepesi sana,nimechagua tu kukupuuza!
Osha papa hilo,lala!

Mxiiiiiiwe papa lako ulioshe mwenyewe linanuka ka ng'onda aliye china koma kupร ramia watu mwana kizabinazabina weye kwa vile we ni ke mwenzangu lemme reserve you ingekua jinsia nyingine walahi geeeeera outa hiiiia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ