Hadi Fid Q? Nimebaki kuduwaa

Mxiiiiiiwe papa lako ulioshe mwenyewe linanuka ka ng'onda aliye china koma kupàramia watu mwana kizabinazabina weye kwa vile we ni ke mwenzangu lemme reserve you ingekua jinsia nyingine walahi geeeeera outa hiiiia

umepanick!...teh teh teh...kumbe papa lako linanuka kama ng'onda?.hahahahaha..tatizo maji yenu ya visima vyura wanayakojolea!ila usimchukie mamaako kwa kuzaa na babaako,ndo maisha!
Asante na kwaheri!
 
Fiq q anajina kubwa ila kuimba hatujui mi sijawahi kuona uzuri wa nyimbo zake kiukweli kwa weusi haingii hata robo.

Wewe ni mwanamama its understandable huwezi ku comprehend mashairi magumu ya Fid, endelea kumsikiliza Joh na nusu nusu ni haki yako ya msingi na ya kikatiba kuchagua unachokipenda kama ilivyo kwake FidQ kushabikia chama anachokipenda
 
umepanick!...teh teh teh...kumbe papa lako linanuka kama ng'onda?.hahahahaha..tatizo maji yenu ya visima vyura wanayakojolea!ila usimchukie mamaako kwa kuzaa na babaako,ndo maisha!
Asante na kwaheri!

Kweli wewe laanakumu unafikiri kutaja wazazi kutaniprovoke ndo shida ya viwanaume vifupi kwenda chino akili hamna ujinga ujinga tu kubaki kutumika ka tissue
 

Attachments

  • 1442963651551.jpg
    9.2 KB · Views: 462
bora kuwa pazia kuliko bendera kufuata upepo!
Mangapi yametokea toka Jan 2014 ulipojiunga JF hadi leo na hujayasemea!
We ni kiazi tu!
PERIOD!

Kumbe Fid Q umo humu JF!? Nafurahi kulijua hili.
 
Fid Q !!!!!!!!!!!!!!!!!!, alishaimba nyimbo gani tafadhari tukumbushane mana hili jina kwangu ni geni.
 
Watu wanafanya mziki kazi kwani ndio ajira yao rasmi. Hata ukawa wangempa kazi asingekataa kwa kuwa hakuna asiyehitaji pesa kwenye maisha haya ya kibepari.
 
Joh makini,stereo,songa,nikki mbishi,one the incredible,roma na kala ni.wanahip hop wa uvungu wa moyo wangu
 
hivi mtu akiwa tofauti na chama chako basi ana akili ndogo? Au ana njaa??

Mbona ukawa mnaweweseka sana nyie?
 
Reactions: nao
pimen akil za wasanii kuputia kipind hich cha kampen

Mungu awabariki wale waliosimama na UKAWA
 
Yuko wapi Marlooo alizunguka kwenye kampeni alivyomaliza mashabiki wamemkimbia yuko chaliii

Madee,Ali Kiba,MwanaFA,Chege &Temba hawa wote walishawahi ipigia kampeni CCM huko nyuma na hadi leo wanafanya vizuri,Marlow baada ya kuoa tu na muziki ukaishia hapo hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…