Wasanii hawana elimu ndogo kushinda ya Mbowe... Ujui mwenyekiti wako wa chama anazidiwa elimu ata na Kifesi?
Aliimba
CCM C CM chamaa... CCM number one
Leo akiwa Chato kwenye kampeni za mgombea urais kupitia CCM,amepanda jukwani kuwarubuni mashabiki wake kwa tungo za kuipamba CCM.
Kwanza niseme kuwa,huyu bwana nilikuwa ninamheshimu sana kutokana na tungo zake mahiri na hata za kuponda serikali,rejea Propaganda.
Pili,wasanii wengi wanaojikita katika misingi ya hip hop ni wanaharakati wanaotaka mabadiliko hivyo ni wafuasi wa UKAWA ambalo ni tumaini pekee la Watanzania.
Hivyo kwa hadhi/level yake kiukweli ameshusha hadhi kwani amesalimu amri kwa kuwa kuna mil 50.
Taratibu naanza kutafakari upya juu ushabiki wangu juu yako maana kila kwenye mpambano na Joh Makini daima nilikuweka namba 1 lakini you are no more valuable.
ungejua Huko kanda ya ziwa wanavomkubalo lowassa hata usingemjibia huyu "Fid Lumumba". Btw wanahip hop halisi wenye msimamo waliobakia ni ROMA ,solothang na nay wa mitego pekee
kwa kuwa wanashabikia ukawa, hizi tafakari hizi...?!
Mkuu Mbowe anakujaje kwenye hili? Let's try to be fair japo kdg kwetu wenyewe na JF pia. This is too low and disgusting.
Hakika wafuasi wa UKAWA ni vituko...
Fid Q !!!!!!!!!!!!!!!!!!, alishaimba nyimbo gani tafadhari tukumbushane mana hili jina kwangu ni geni.
Mimi siipendi CCM lakini nadhani si afya kumchagulia mtu a support chama Fulani, na kama hii ndio case basi hakuna maana yeyote ya kuwa na vyama vingi ! upinzani tuoneshe mfano kwa kuwashawishi walioupandekinzanikuja huku .Leo akiwa Chato kwenye kampeni za mgombea urais kupitia CCM,amepanda jukwani kuwarubuni mashabiki wake kwa tungo za kuipamba CCM.
Kwanza niseme kuwa,huyu bwana nilikuwa ninamheshimu sana kutokana na tungo zake mahiri na hata za kuponda serikali,rejea Propaganda.
Pili,wasanii wengi wanaojikita katika misingi ya hip hop ni wanaharakati wanaotaka mabadiliko hivyo ni wafuasi wa UKAWA ambalo ni tumaini pekee la Watanzania.
Hivyo kwa hadhi/level yake kiukweli ameshusha hadhi kwani amesalimu amri kwa kuwa kuna mil 50.
Taratibu naanza kutafakari upya juu ushabiki wangu juu yako maana kila kwenye mpambano na Joh Makini daima nilikuweka namba 1 lakini you are no more valuable.
Mtoa Mada and the likes mna IQ ndogo siwez kuwalaumu sababu sio kosa lenu.