GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nilizozipata hadi muda huu ni kwamba Mambo ni Magumu na sikuwahi kujua kuwa kumbe hata Waarabu ( hasa wa Algeria ) na Wao mambo ya Unyangindo ( Ulozi ) wanayajua.
Kuna Mtu Mmoja wa Insider 259 Hopeless and Useless Passenger Team kanitonya kuwa Usiku wa Kuamkia Mechi yao ya Temeke Mvua Stadium walituma Watu wao Watatu wakisaidiwa na Mfanyakazi Mmoja wa Hotel waliyofikia Wababe wao ili wakafanye Unyangindo ( Urogaji ) na walichokikuta katika Chumba cha Mikutano cha hiyo Hotel Saa 8 Usiku kikiwa na Wachezaji, Viongozi na Afisa Ubalozi wao Mmoja walishikwa na butwaa, kuwa Wapole na wakaenda kutoa Ripoti kwa Waliowatuma kuwa Wanafungwa na Wakafungwa Kweli.
ANGALIZO
Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) na Mpumbavu ( Damn Fool ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi hasa katika Mada zao hapa na uniachie wale Werevu na Wanaonielewa waendelee Kunisoma, Kuhahabarika, Kuelimika, Kunyetika Kitaarifa na Kuburudika nami vile vile.
Nimemaliza.
Kuna Mtu Mmoja wa Insider 259 Hopeless and Useless Passenger Team kanitonya kuwa Usiku wa Kuamkia Mechi yao ya Temeke Mvua Stadium walituma Watu wao Watatu wakisaidiwa na Mfanyakazi Mmoja wa Hotel waliyofikia Wababe wao ili wakafanye Unyangindo ( Urogaji ) na walichokikuta katika Chumba cha Mikutano cha hiyo Hotel Saa 8 Usiku kikiwa na Wachezaji, Viongozi na Afisa Ubalozi wao Mmoja walishikwa na butwaa, kuwa Wapole na wakaenda kutoa Ripoti kwa Waliowatuma kuwa Wanafungwa na Wakafungwa Kweli.
ANGALIZO
Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) na Mpumbavu ( Damn Fool ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi hasa katika Mada zao hapa na uniachie wale Werevu na Wanaonielewa waendelee Kunisoma, Kuhahabarika, Kuelimika, Kunyetika Kitaarifa na Kuburudika nami vile vile.
Nimemaliza.