Hadi kufikia mwezi April 2023, chombo cha Voyager 1 kimefika umbali wa Km Billioni 23 kutokea duniani. Mabeberu waheshimiwe tu jamani

Wabongo wanaendelea gundua machimbo ya kupata madanga na wauza kyuma
 
Mawasiliano yanachukua saa 22.5 kutoka huko kufika duniani....... Mawimbi yanasafiri almost speed ya mwanga
Zimefungwa betri kwenye hicho kifaa zenye lifespan ya karibu miaka 50+

Mzungu aheshimiwe 🙏
 
Aisee, itakuwaje kikitoka nje ya solar system?
Voyager 1 iliondoka mfumo wa jua mnamo Agosti 25, 2012 na kuingia katika nafasi ya kati, eneo kati ya nyota zilizo mbali na mfumo wa jua. Eneo hili linajulikana kama heliopause, ambapo nguvu za upepo wa jua unakutana na gesi inayosababishwa na nyota zingine. Voyager 1 ilikuwa chombo cha kwanza cha anga za juu kutoka Duniani kufikia eneo hili, na sasa inaendelea kuendelea kupitia nafasi isiyo na mwisho ya anga za juu. Hata hivyo, kwa sababu ya umbali mkubwa kutoka kwa Voyager 1 hadi dunia, inachukua takriban masaa 20 kwa ishara ya Voyager 1 kufika duniani, hivyo mawasiliano yanakuwa na ugumu sana.
 
Hivi kile chombo ambacho inasemekana kilizimwa kamera zake na wanasayansi miaka ya 90 ni chombo gani ?
 
Tangu kimezinduliwa na kuanza safari zake, kimewahi kurudi duniani na kutua mara ngapi? Ni mara ngapi kimefanyiwa matengenezo kutokana na hitilafu? Mara ngapi kimefanyiwa maboresho ili kuendana na mabadiliko ya ukuaji wa science na technology pia kuendana na mahitaji ya kinyakati?
 
Hiko chombo cha voyeger 1 ndio kile chenye ile golden Cd labda?
 
Wengine mnajua kurusha vocha tu mama.e.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…