hadi leo maishani mwako una majuto yoyote?

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,468
Reaction score
911,184

A palliative nurse has recorded the top five regrets of the dying. Photograph: Montgomery Martin/Alamy.

utashangaa kufahamu ya kuwa watu ambao wanakaribia kufa majuto yao hufanana na wengi wao hujutia kutumia muda wao mwingi kufurahisha wengine badala ya kufurahisha nafsi zao, na kufanyakazi kupita kiasi hata kutoa zaka furaha ya maisha yao. Kwa kifupi kuendesha mambo yao kwa kutanguliza matakwa ya wengine badala yao ndiyo huwa sikitiko lao kubwa kulikoni yote.

Sasa, hadi hivi sasa ni jambo lipi au yepi ambayo unayajutia kwa kuyafanya au kwa kushindwa kuyafanya mara nyingi kwa minajili ya kufurahishi wengineo badala ya nafsi yako mwenyewe?

kwa ufafanuzi zaidi jisomee hiimakala nimeikuta kwenye mtandao.........
Top five regrets of the dying

A nurse has recorded the most common regrets of the dying, and among the top ones is 'I wish I hadn't worked so hard'. What would your biggest regret be if this was your last day of life?

 
mmmh, majuto?
Si wanasema majuto ni mjukuu?

Mie bado kigori sina hata mtoto.

kongosho kuwa wazi majuto yako ni kwamba wewe bado ni kigoro na huna mtoto au?
 
hey not me...
that is from the dying fellow....

The boss we want to hear your own story of regrets not of the others...........majuto yako ni nini?
 
The boss we want to hear your own story of regrets not of the others...........majuto yako ni nini?

kila mtu ana regrets...kila siku
wanajali za 'deathbed regrets' kwa sababu pale mtu ndo anatazama maisha yake yoote...ni kama
mahesabu jioni....

sasa mimi sijafika point hiyo bado
ndo kwanza asubuhi.......
 
aisee kwa kweli me najuta kumpatia virginity yangu m2 ambae sikuwa moyoni mwake. kwa kweli niliji2nza na nilivyompata yeye nikaona mwanaume ndo huyu nikamkabidhi moyo wangu wote na mwili wangu kwa kweli yaliyonikuta baada ya hapo ni mazito ambayo yananifanya mpaka leo nijute. aliniendesha alivjojisikiaalidiriki kuongea na madem zake mbele yangu hukun akiwabusu mimi akiniziba mdomo nisiseme chochote.Aisee inaniuma sana hv ninavyosimulia hadi machozi yananitoka na inaniuma zaidi my "virginity" kujitunza nilikoji2nza anakuja kufanikiwa m2 ambae hakunithamini na nimedumu nae mda mchache sana aisee najuta!!
 
Life is living.. don't have time to start regretting..., the choices I have made are what has made me who I am (both right and wrong choices)... If I could live my life again I would have done the same things
 
Not having a baby earlier is your only regret? Do you like kids?

i dont like them,to be honest,they are such hard work...lol but being raised in africa kids are future investment lol...they help you in your older age......and when i think of this,i get scared a bit....who will take care of me when am old?lol
 

Usitie shaka ukipata anayekuthamini hatajali kama alikukuta na virginity au hapana atakupenda kama wewe ulivyo, kuendelea kukumbuka yaliyopita ni kujitesa wewe na kutokujitendea haki..., forward ever..., backward never...
 

wanawake wachache sana wanawapatia ubikira wanaume wanaowapenda...wengi baada ya kutolewa bikira huwa wanamchukia yule aliyewatoa....hivyo hauko peke yako,lol
 
i dont like them,to be honest,they are such hard work...lol but being raised in africa kids are future investment lol...they help you in your older age......and when i think of this,i get scared a bit....who will take care of me when am old?lol

What were you like as a kid? A handful? mellow?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…