kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Hivi serikali ya Tanzania wamefanya juhudi gani kuishinikiza ujerumali warudishe mafuvu ya viongozi wetu?
Hadi leo nahisi Mangi Meli bado roho haijapumzika kwa amani serikali yetu haijafanya juhudi zozote hadi sasa.
Tunaomba mafuvu ya wamangi wote yalochukuliwa na wakoloni yarudishwe tuwape maziko ya heshima na ya kimila hao ndugu zetu.
Pichani ni mangi mengi ambaye alinyongwa na wajerumani mwaka 1900 waliondoka na fuvu lake hadi leo hawajarudisha.
Hadi leo nahisi Mangi Meli bado roho haijapumzika kwa amani serikali yetu haijafanya juhudi zozote hadi sasa.
Tunaomba mafuvu ya wamangi wote yalochukuliwa na wakoloni yarudishwe tuwape maziko ya heshima na ya kimila hao ndugu zetu.
Pichani ni mangi mengi ambaye alinyongwa na wajerumani mwaka 1900 waliondoka na fuvu lake hadi leo hawajarudisha.