GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Tangia Taarifa ya Kifo chake itangazwe rasmi Jana na Watu kuanza kutoa Rambirambi ( Pole ) zao ama hakika kila ninaposikiliza Vipindi mbalimbali vya Redioni hata kama siyo vya Michezo nimegundua ya kwamba Watanzania ni Waongo sana hasa katika Kuelezea jinsi wanavyomjua Marehemu Diego Armando Maradona.
Mtanzania #1 aliyehojiwa
Ndugu Mtangazaji nakuambia namjua Diego Maradona tokea akicheza Kombe la Dunia miaka ya 60 huko nchini Taiwan
Mtanzania #2 aliyehojiwa
Nimesikitika mno tu kwa Kifo chake Diego Maradona kwani nilibahatika Kuonana nae Mubashara ( Live ) katika Television.
Mtanzania #3 aliyehojiwa
Nimeumia mno na Kifo chake Maradona kwani mwaka 1959 akicheza Kombe la Ameica ya Kusini alifunga bonge la Goli
Mtanzania #4 aliyehojiwa
Nakumbuka nilikaa nae katika Siti moja ya Ndege ambapo kutokana na Unene wake na Kunibana nilimwomba Rubani niweke Kigoda njiani nikae
Mtanzania #5 aliyehojiwa
Marehemu Diego Maradona alikuwa ana uwezo wa Kupiga Chenga Wachezaji wote Uwanjani kisha akahamia kwa Mashabiki na Kuwapiga Chenga
Mtanzania #6 aliyehojiwa
Niliwahi Kukaa katika Ukumbi Mmoja na Marehemu Diego Maradona huko Marekani na alipoondoka alinipa Pesa ya Kununua Ice Cream
Mtanzania #7 aliyehojiwa
Namkumbuka Marehemu Diego Maradona kwani nje tu ya Kucheza Mpira kwa Umahiri wake wote pia aliwahi kuwa Rais wa nchini Argentina 1950
Mtanzania #1 aliyehojiwa
Ndugu Mtangazaji nakuambia namjua Diego Maradona tokea akicheza Kombe la Dunia miaka ya 60 huko nchini Taiwan
Mtanzania #2 aliyehojiwa
Nimesikitika mno tu kwa Kifo chake Diego Maradona kwani nilibahatika Kuonana nae Mubashara ( Live ) katika Television.
Mtanzania #3 aliyehojiwa
Nimeumia mno na Kifo chake Maradona kwani mwaka 1959 akicheza Kombe la Ameica ya Kusini alifunga bonge la Goli
Mtanzania #4 aliyehojiwa
Nakumbuka nilikaa nae katika Siti moja ya Ndege ambapo kutokana na Unene wake na Kunibana nilimwomba Rubani niweke Kigoda njiani nikae
Mtanzania #5 aliyehojiwa
Marehemu Diego Maradona alikuwa ana uwezo wa Kupiga Chenga Wachezaji wote Uwanjani kisha akahamia kwa Mashabiki na Kuwapiga Chenga
Mtanzania #6 aliyehojiwa
Niliwahi Kukaa katika Ukumbi Mmoja na Marehemu Diego Maradona huko Marekani na alipoondoka alinipa Pesa ya Kununua Ice Cream
Mtanzania #7 aliyehojiwa
Namkumbuka Marehemu Diego Maradona kwani nje tu ya Kucheza Mpira kwa Umahiri wake wote pia aliwahi kuwa Rais wa nchini Argentina 1950