Hadi nimepata mafua jamani

Hadi nimepata mafua jamani

odamae

Senior Member
Joined
Nov 5, 2020
Posts
163
Reaction score
291
Nachukia mambo ya kulala wawili,godoro dogo tu nimeletewa mgeni nilale nae mwingine analala upande wa juu mwingine wa chini usiku wakati wa kulala ukigeuka tu unakutana na miguu usoni nusu ikuingie mdomoni ukute mtu alioga asubuhi usiku ukimwambia akaoge anadai amechoka analala ivyo ivyo jamani!!

Unabaki unanusa vumbi la unyayo usiku kucha Shida kweli yani hapa natamani arudi kwao Leo siku ya tano tunanyosheana miguu usoni mimi namnyoshea yeye ye ananinyonyeshea Mimi ili tubalance godoro!!

Vipi wewe ushawahi kutana nayo?
 
Mbona tatizo dogo tu hilo. Komaa ulale bila kuoga hata siku mbili, ataondoka mwenyew bila kuaga.
 
mbona kawaida sana hii,kwamba katika makuzi yako ndo mara ya kwanza kulala mzungu wa 4
 
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]mabibo hostel ndio wanalala hivo,... Pale udsm
 
Utakuja kuishi maisha ya ajabu sana, maana sio mvumilivu.
 
Utakuja kuishi maisha ya ajabu sana, maana sio mvumilivu.
Sikatai ila awe anaoga unyayo wote umejaa uchafu shida sio kulala shida ukimwambia twende tukaoge anakuwa mvivu.
 
Sikatai ila awe anaoga unyayo wote umejaa uchafu shida sio kulala shida ukimwambia twende tukaoge anakuwa mvivu.
Mtu umeoga tangu asubuhi usiku unalala tu wakati unajua upo na mwezako kama vipi anawe ata maji miguuni basi nikimwambia twende tukaoge anakuwa mkali ananambia ushaanza
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].ukitaka raha hamia kwako
 
Back
Top Bottom