#COVID19 Hadi Novemba 28, maabukizi ni watu 26,273 na vifo ni 731

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Waziri wa Afya, Dkt Dorothy Gwajima amesema takwimu za Tanzania zinaonyesha hadi kufikia Novemba 28, 2021 jumla ya watu waliothibitika kuwa na maambukizi ya #Uviko-19 ni watu 26,273 na vifo 731 ambavyo vimetolewa taarifa.

 
Hiyo ndio tiketi ya kupewa misaada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…