Uchaguzi 2020 Hadi sasa kimkakati CHADEMA wameizidi CCM

Huyu Mungu mnayemsemea ni Mungu yupi.
Huyu huyu tunayemwamini? Huyu huyu aliyesema tusihukumu tusije tukahukumiwa? Ni huyu aliyekataza ushoga?

Maana kati ya hao wawili kuna mmoja ni mmumini wa ushoga kwa kigezo cha haki za binadamu
Una ushahidi?
 
Mikakati gani?. Labda ya matusi na kebehi. Semeni hoja zenu, mtawasaidia nini watanzania kwenye changamoto zao.
 
Wewe ni mahaba hutaki kusema ukweli.
CCM WAKO KIMKAKATI NCHI NZIMA wanashambulia kila kona ya nchi.

Endeleeni kunifariji tuonane october 28
 
Niliwai sema na nasema tena Tundu Antiphas Lissu ni sawa na Mfalme Daudi na Magufuli ni sawa na Mfalme Sauli.

Sauli alikuwa na majeshi, fitna na fedha za kumshinda Daudi ila Daudi alikuwa na Mungu tu na Mungu aliweza kumshindia vita dhidi ya Sauli!
Amina mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…