Hadi wewe Ali Kiba hii ni aibu na fedha

Status
Not open for further replies.
Kiba mnamuonea...Diamond alionesha kabisa kuwa anasapori ccm waziwazi tena aliiponda sana ukawa instagram....lakini kiba anafanya kazi sio kampeni kama domo
 
Kuna wakati cdm iliibua ufisadi wa epa na kuushika bango vizuri sana hadi makada wawili wa ccm wakafunguliwa mashtaka na wakili wao kuwatetea alikua ni mabere marando ambaye alikuwepo pia kuwatuhumu

Alipo ulizwa alieleweka hadi na viongozi wake wa chama kwamba ile anayofanya pale ni kazi yake na wote tulimuunga mkono na aliisimamia kesi hadi mwisho kutetea mafisadi

Lazima tujue kwamba wasanii kazi yao ni kulipwa ili watumbuize iwe kwenye harusi au umejifungia chumbani kwako au kipa imara au jambo lolote lile...... Hiyo ndio kazi yao

Sijambo sahihi kumuhukumu mtu anapofanya kazi yake, ni sawa na contractor kujenga majengo ya ccm au mbowe kuruhusu mikutano ya ccm kufanyikia hotelini kwake.......ni Biashara tu kama zingine

Kiba akifika pale ataimba mwana na cheketua nk then anavuta chake maisha yanendelea

Ukawa wana haki pia kuwatumia hawa wasanii iwapo watakubaliana

Mwisho kabisa ni lazima tukubaliane kwamba hawa wasanii wanamaisha mengine nje ya muziki na tunapaswa kuheshimu maamuzi yao, sio kwasababu wewe ni mkristo basi umchukie kiba kwauislam wake au wewe ukawa umchukie chibu kuwa ccm
Huku ni kuingiliana maisha binafsi
Penda ua chukia kazi zake na sio misimamo yake ya uhuru wake wa kuamua
 
Haya mkuye na hukuuu...tuacheni double standards, haya wale wa kuacha kumshabikia mkuyee, mkuye wale wachambuzi wa kisiasa...

Afu we naniliu una bahati siijui ID yako ningekutag...hahahaaa

Hivi huwa wanafanya bure hawalipwi mana huyu kiba kashindwa kulipa kodi y nyumba....chibu nae kashindwa lipa deni n simu hapokei kweli umaarufu njaa unawaponza
 
OMG! Sitaki kuamini kama hili linakwenda kutokea.
Leo sikuwa na mpango wa kuangalia huo mkutano ila itabidi nipunguze muda wa mitoko yangu niangalie.
Nitasikitika sana, tena sana.
Nitaangalia na uzito wa suala, huenda na mimi nikatoa TAMKO kali!

ha ha haaaa [MENTION=50906]Nifah/MENTION] umenichekesha.."tamko kali"
 

Mkuu mwambie baba tifah alipe deni la marehemu c kalipwa n ccm kupiga kampeni y viuno jukwaani
 
Last edited by a moderator:
Nyie mkishinda mtakuwa madikteta tu, naona mtafuta vyama vyote mbaki peke yenu
 
Reactions: nao
kiba na huyo diamond hivi wamewahi kuimba wimbo wenye element za kimapinduz?. siyo kosa lake maana ni sweety ila nitashangaa nikimwona fid-q, roma, makini, izzo, mitego, jeremiah na wengineo km hawa km watasapot ccm
 
Haya mkuye na hukuuu...tuacheni double standards, haya wale wa kuacha kumshabikia mkuyee, mkuye wale wachambuzi wa kisiasa...

Afu we naniliu una bahati siijui ID yako ningekutag...hahahaaa

Ahahahahahahahaha..... Wako wapi? Tuwatafute wapi?
 
Haya mkuye na hukuuu...tuacheni double standards, haya wale wa kuacha kumshabikia mkuyee, mkuye wale wachambuzi wa kisiasa...

Afu we naniliu una bahati siijui ID yako ningekutag...hahahaaa

Hahahaaa jamani! Wale wazee wa double standards tuje huku!
 
Ninachojua kila mtu ana haki ya kumshabikia atakaye, awe Diamond, Kiba au hata Wema Sepetu.
As for me UKAWA mbele kwa mbele.
Yani nime unfollow mabendera yote njano na kijani.Yananikera tu.
Baada ya uchaguzi nitafollow upya
 
Hawa wasanii maisha yao showoff nyingi sana ila chini y carpet kuna mengi....deni la marehemu alipe ndio aendelee n kampeni mana atakua amepata pesa

Brother huamini kama nataka kumsaidia kulipa 45% ya deni lote? Niambie ni deni gani na shilingi ngapi?
 
OMG! Sitaki kuamini kama hili linakwenda kutokea.
Leo sikuwa na mpango wa kuangalia huo mkutano ila itabidi nipunguze muda wa mitoko yangu niangalie.
Nitasikitika sana, tena sana.
Nitaangalia na uzito wa suala, huenda na mimi nikatoa TAMKO kali!

Mimi ni timu d lkn wamenikatisha tamaa wala siangaikii tena kumvote kwenye nomination zake nahisi kufanya hivo nitakuwa nimevote ccm. Kuanzia leo mimi ni timu prof j,sugu na kala j.
 

Acheni Vijana watumie vipaji vyao kwa wanachokipenda, na Wewe tumia kipaji chako Kama unacho acha kupotosha .kama hujabarikiwa kipaji kaa kimya
 
Last edited by a moderator:
hivi tofaut yetu sisi na hao wasanii ni nin nao ni binadam na wanammamuz katika maisha yao... mbafikr proffesor jay hakua na washabik ambao ni ccm mbna halilalmikiw hilo... mbona wewe ni mshabik wa chama fulan hakuna wa kukulaimikia tuwen na ubinadamu ndan yetu hao pia ni kama sisi na wanamapenz na vyama vyao.

sipend siasa na simwamin mwanasiasa yoyte ila
maamuz binafs yaheshimiwe.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…