mapambazuko
Member
- Oct 6, 2010
- 23
- 1
kama mh kinanana leo anamalalamikia mgombea kiti cha ubunge wa chadema kupitia jimbo la temeke kuwa jana katika hotuba yake alimkashifu mh rais kikwete je, leo kwa masikio yangu nilikuwepo mwembe yanga hadija kopa anasema hivi dr slaa kaanguka choo cha hoteli kaumia je akiingia choo cha ikulu akaanguka siatakufa je haya si matusi au kashifa na chadema waanze kuitisha press kulalamikia haya wadau mnasemaje? kumbuka wakati huo yuko jukwaani anatoa burudani:A S-baby: