mapambazuko
Member
- Oct 6, 2010
- 23
- 1
Huyu ni vuvuzela kachoka sana , lazima tumsamehe, kwa sababu kipo kitu kidogo alichopewa. lakini ni watuhatari sana kwa sababu wanasahau shida kwa vijifedha kidogo sana na kuanza kutumika kama bablish ambayo baadaye itatemwa na kusahaulika.kama mh kinanana leo anamalalamikia mgombea kiti cha ubunge wa chadema kupitia jimbo la temeke kuwa jana katika hotuba yake alimkashifu mh rais kikwete je, leo kwa masikio yangu nilikuwepo mwembe yanga hadija kopa anasema hivi dr slaa kaanguka choo cha hoteli kaumia je akiingia choo cha ikulu akaanguka siatakufa je haya si matusi au kashifa na chadema waanze kuitisha press kulalamikia haya wadau mnasemaje? kumbuka wakati huo yuko jukwaani anatoa burudani:A S-baby:
hadija kopa ni chakula cha jeykey kwa taarifa yako kwa hiyo hata sishangai shangingi huyu anapotoa haya maneno asiwatishe maana ye mwenyewe ni bidhaa inatafuta soko kwa hali na mali mpasipo mafanikio,bidhaa yenyewe haina quality wala mvuto imechoooka kila bei inaingia pale hata sh 100