Elections 2010 Hadija Kopa amtukana Slaa!!

Wanaume sometimes mnachefua, sasa huyu ana nani jamani mpaka kila mtu atamani kuonja?
 
Chadema wasilalamike ila kwa kuwa ccm wamemwaga mboga wao wamwage ugali kwa kusema....kikwete mgombea mgonjwa anaanguka hovyo na hafai kuchaguliwa kuwa rais kwa mujibu wa katiba aliyoiapa
 
birth date :not recorded
birth place: found in the pit latrine
education : madrassa al nuur, jambiani
experience: 40yrs singing taarab in bars
2months rescuing Jaeykey from pitfall


ha haha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii he he heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee leo umenichekesha sana do! bonge la CV
 
Mmmh, hadi habari za wacheza taarabu na zenyewe ni issue ya kujadili? Hivi Hadija Kopa ni nani katika nchi hii? Mpuuzeni tu, mtu wa mipasho huyu ana lipi jipya?
Hilo shangingi kiboko yake alikuwa marehemu Bi SALMA mbona alitamani kuacha taarabu kwani bibie alimnyoosha na kumnyausha hasaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…