Asante mkuu ila ni kama story hii iko kimapinduzi.Natanguliza shukrani zangu kwa ninyi nyote mliosoma story hii na Sasa niwatakie Kila la kheri
Labda tutakutana kwenye MZAHA WA DAMU , MPANGAJI AU KESI YA MZEE MNYOKA
!!!!
Asante mkuu ila ni kama story hii iko kimapinduziNatanguliza shukrani zangu kwa ninyi nyote mliosoma story hii na Sasa niwatakie Kila la kheri
Labda tutakutana kwenye MZAHA WA DAMU , MPANGAJI AU KESI YA MZEE MNYOKA
!!!!
Iko bomba sana hiinimefika mtani wangu Gily,barikiwa
[emoji23]Siku uliyomkula madam pale Ikulu sitaisahau. Shunie aione kwenye jalada halaf ani pm
Hahaha[emoji23]
[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Boss wangu Watu8 ataniwakilisha vizuriNi kweli itakuja ingawa Sasa nishatoka likizo kwenye nyumba yenye Wi-Fi
Inabidi
gilly_munisi Shunie Gily tuongeze na Watu8
N.k wafanye mchakato wa bando...
[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Ukianza kushusha vitu nitakutumiq gb 2π¬ unatumia mtandao gani?Ni kweli itakuja ingawa Sasa nishatoka likizo kwenye nyumba yenye Wi-Fi
Inabidi
gilly_munisi Shunie Gily tuongeze na Watu8
N.k wafanye mchakato wa bando...
π€π€π€π€π€π€