Hadithi ya Ndoa yangu

Una makasiriko na watu wanaoenjoy mapenzi yao, kwani wewe uliachwa?
hata sina kasiriko sema hakitulii kile kitoto kitundu mno nakipo kwenye honeymoon! huo muda anatoa wapi she is not serious..
 
Ila dunia hii aisee yaani na wewe umeto....mbwaaaaa aisee hadi huzuni jmn

Hafu utakuwa mchaga wewe ngoja nizoom nikucheki
 
JF ilivyo na mambo yake, ukute muanzisha uzi ni 30 something by age, ila ameamua kujitekenya na kucheka mwenyeww.
 
kosa lilianzia hapa,sijui hadithi inaishaje lakini ,hii kujifanya umechoka haikuwa sawa, naye alipokubali ndo ikawa noma zaidi
 
Jamani ila nilikwambia utulie..yani ndo kwanzaa hata tatu kavu hazijaisha ushaanza kutafuta stress JF...haya na Ban juu...ila ww kweli mwali mtata...πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Mwali huyu mtata sana Ila Mimi alinifungulia uzi na kibaya zaidi ninachompendea huyu mtoto hajaniignore pamoja na kwamba Mods waliingilia kati wakamwambia muignore huyo muignore Nyamwi255 akasema hapana huyu Baba Jr wa baadae huyu siwezi kumignore kabisa full makopakopa leo kanionyesha vikumakuma ana hatari huyu mwali

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…