ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
mpka sasa nashindwa kumuelewa msemaji wa simba kuhusu swala la Ramadan Sigano kwnn alikurupuka kusema vitu asivyo kua na uhakika navyo pili wao wamepokea uongozi kutoka uongozi wa kina Rage hayo mambo ya simba kumsomesha Rama kayafahamu lini haoni kua kasha haribu sycology ya mchezaji?
kama hii Simba itaendelea kua na vingozi wa aina hii sijui msimu ujao kma hata nafasi ya tatu tutaipata
kama hii Simba itaendelea kua na vingozi wa aina hii sijui msimu ujao kma hata nafasi ya tatu tutaipata