ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
...Samuel Etoo alilelewa na Real Madrid lakini alienda kuichezea Barcelona...
Ambao hawaeleweki ni hao wasiyowaelewa akina Haji Manara, Jerry Muro, Tobias Kifaru, Masau Bwire na kama hao. Hamjatambua kwamba kila mmoja ni 'msemaji' wa klabu iliyomwajiri? Tafsiri ya Kiswahili ndiyo imeviponza vilabu, kwa hivyo badala ya kutafuta wasemaji kwa maana ya 'press secretaries/spokespersons' wao hutafuta wasemaji kwa maana ya wasemaji. Kwa msingi huo tutegemee nini? Wacheni 'wasemaji' wa vilabu vyetu waseme hadi waishiwe na maneno! Na Mwadui nao kama watataka ushauri, wasimwachie Julio kuwa kocha tu, bali kocha msemaiji, kwa sababu ni msemaji!
Alichokisema msemaji wa simba iwe ni ya kweli au uongo kikubwa ni ile hali yake ya kuongea kama anacheza bao. Huu utamaduni wa wasemaji wa vilabu tff inabidi itafute namna ya kuwarejesha kwenye mstari.
Kuna watu kuwaelewa hadi uwe umeishi magomeni,kariakoo au kinondoni
otherwise hutawaelewa....
Samuel Etoo alilelewa na Real Madrid lakini alienda kuichezea Barcelona
Haji manara ni mtu wa vijiweni ..na anayo yazungumza ni ya kijiweni zaidi