W wakimataifa. JF-Expert Member Joined Jun 7, 2015 Posts 1,625 Reaction score 558 Sep 10, 2019 #1 Huyo ndio kikwazo cha yanga kushindwa washsbiki hawajui wanamuona kama malaika wa yanga Wache muendelee hivyohivyo
Huyo ndio kikwazo cha yanga kushindwa washsbiki hawajui wanamuona kama malaika wa yanga Wache muendelee hivyohivyo
Frank Wanjiru JF-Expert Member Joined Apr 12, 2012 Posts 22,719 Reaction score 40,739 Sep 10, 2019 #2 Majungu. Wakati Yanga inachukua Ligi Kuu mara tatu mfululizo Meneja ulikuwa wewe?
tony92 JF-Expert Member Joined Jul 17, 2013 Posts 2,398 Reaction score 3,691 Sep 10, 2019 #3 Naona saivi kila mtu mnamtafuta aonekane mbaya.
W wakimataifa. JF-Expert Member Joined Jun 7, 2015 Posts 1,625 Reaction score 558 Sep 10, 2019 Thread starter #4 Shauri yenu
mikedean JF-Expert Member Joined Mar 15, 2018 Posts 3,267 Reaction score 4,634 Sep 10, 2019 #5 Simba ndo wanapata shida zaidi na viongozi wa Yanga.Mtuache na Yanga yetu
MR BINGO JF-Expert Member Joined Feb 12, 2016 Posts 1,164 Reaction score 2,500 Sep 10, 2019 #6 Kabla hata uzi haujafunguka nilijua utakuwa unamuongelea huyu Jamaa .yaan mtu umemuona Leo Leo halafu unamkosoa
Kabla hata uzi haujafunguka nilijua utakuwa unamuongelea huyu Jamaa .yaan mtu umemuona Leo Leo halafu unamkosoa