The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Hali ilivyo kwenye hafla ya kukabidhiwa Sh20 milioni kwa Tabora United baada ya kuifunga Yanga.
Tabora United imekabidhiwa Tsh. 20 Milioni na Mhe. Paul Chacha Matiko Mkuu wa Mkoa wa Tabora ambayo ilikuwa ni ahadi baada ya kuichakaza Yanga SC goli 3-1.
Tabora United imekabidhiwa Tsh. 20 Milioni na Mhe. Paul Chacha Matiko Mkuu wa Mkoa wa Tabora ambayo ilikuwa ni ahadi baada ya kuichakaza Yanga SC goli 3-1.
Soma Pia:
- RC Chacha aahidi milioni 50 kwa Tabora United ikiilaza Simba SC
- Full Time: Yanga SC 1 - 3 Tabora United | NBC Premier League | Azam Complex | November 7,024